Luke 3:19-20
19 aLakini Yahya alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya, 20 bHerode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yahya gerezani.Kubatizwa Kwa Bwana Isa
(Mathayo 3:13-17; Marko 1:9-11)
Copyright information for
SwhKC